TASWIRA:Theluji Yapatikana Pembezoni Mwa Barabara Wilayani Rungwe.
Ni nadra sana
kuona theluji ikiwa hivi Tanzania kwani mara nyingi tumezoea kuona hali
hii katika nchi za Ulaya kwa sababu ya uwepo wa baridi kali.
Picha hii imepigwa kutoka katika wilaya ya Rungwe iliyopo mkoani Mbeya amapo theluji ilikuwa pembezoni mwa barabara jana Julai 19, 2016. Hii inaonyesha uwepo wa baridi kali katika eneo hilo.
Miongoni mwa mchi zenye baridi sana barani Ulaya ambao kwao kuona barafu hivi ni jambo la kawaidia ni pamoja na Finland na nchi zilizopo katika ya Sweden na Russia.
Picha hii imepigwa kutoka katika wilaya ya Rungwe iliyopo mkoani Mbeya amapo theluji ilikuwa pembezoni mwa barabara jana Julai 19, 2016. Hii inaonyesha uwepo wa baridi kali katika eneo hilo.

Miongoni mwa mchi zenye baridi sana barani Ulaya ambao kwao kuona barafu hivi ni jambo la kawaidia ni pamoja na Finland na nchi zilizopo katika ya Sweden na Russia.