Yanga Yaibugiza Ndi Ndi Mbeya City Sokoine Na Kukabidhiwa Kombe Jumamosi Taifa Dhidi Ya Ndanda.
![]() |
Yanga. |
Mbeya City. |
![]() |
Mbuyu Twite. |
![]() |
Vicent Bossou. |
Dakika ya 86 Amis Tambwe alifunga bao la pili na likiwa bao lake la 21 na kumuacha Hamis Kiiza Wa Simba akibaki na mabao 19 na Jumamosi hii watakabidhiwa kombe lao la ubingwa kwani wamefikisha pointi 71 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yote na mchezo wa dhidi ya Ndanda utachezwa uwanja wa Taifa badala ya kuchezwa mtwara kutokana na uongozi wa Ndanda na Yanga wamekubaliana .
![]() |
Hamis Tambwe. |
![]() |
Juma Kaseja. |