Rais Obama Atoa Neno Zito Kwa Wamarekani Weusi Huku Akitoa Machozi.
![]() |
Rais wa Marekani Barack Obama. |
Akizungumza katika Chuo Kikuu cha Howard mjini Washington, Bw Obama alisema hali ya Wamarekani wenye asili ya Kiafrika imeimarika sana tangu yeye atoke chuo kikuu mwaka 1983.
![]() |
Rais Obama. |
Bwana Obama alisema vijana hao wanapaswa kujivunia kuwa watu weusi lakini lazima wahakikishe kuwa wana mipango kambambe ya kuleta mabadiliko.