Majanga Watu Zaidi Ya 30 Wahofiwa Kufa Majini.
Msemaji
wa kikosi cha wanamaji cha Ulaya ambacho kinapambana na watu
wanaoshiriki ulanguzi wa watu katika habari ya Mediterranean, alisema
kuwa hadi watu 30 wanahofiwa kufa maji huku wahamiaji wengine 50
wakiokolewa.
Walinzi wa pwani ya Italia wanasema kuwa hadi watu 80 walizama maji
Siku ya Jumatano jeshi la wanamaji nchini Italia lilifaulu kuwaokoa wahamiaji, baada ya chombo kikubwa cha uvuvi kilichokuwa kikiwafafirisha kupinduka nje ya pwani ya Libya.
Walinzi wa pwani ya Italia wanasema kuwa hadi watu 80 walizama maji
Siku ya Jumatano jeshi la wanamaji nchini Italia lilifaulu kuwaokoa wahamiaji, baada ya chombo kikubwa cha uvuvi kilichokuwa kikiwafafirisha kupinduka nje ya pwani ya Libya.